forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
614 B
Markdown
20 lines
614 B
Markdown
|
# O, kwamba wokovu wa Israeli uje
|
||
|
|
||
|
Neno "O" hapa linatambulisha mshangao unaoonesha matumaini au ombi. "Natumaini kuwa wokovu wa Israeli utakuja" au "Ninaomba kwamba wokovu uje"
|
||
|
|
||
|
# wokovu wa Israeli uje kutoka Sayuni
|
||
|
|
||
|
Wokovu unaashiria Mungu, mwokozi, ambaye hekalu lake liko Sayuni. "mwokozi wa Israeli utakuja kutoka Sayuni" au "Mungu atakuja kutoka Sayuni na kuokoa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Mungu atakapo warudisha watu wake kutoka mateka
|
||
|
|
||
|
"Mungu atakapo okoa watu wake wafungwa"
|
||
|
|
||
|
# Yakobo atasherehekea na Israeli kufurahi!
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili ina maana moja.
|
||
|
|
||
|
# Yakobo
|
||
|
|
||
|
Hapa "Yakobo" inamaanisha uzao wa Yakobo, Waisraeli.
|