forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
880 B
Markdown
24 lines
880 B
Markdown
|
# ulifikiri kuwa mimi ni mtu kama wewe
|
||
|
|
||
|
kwa kuwa Mungu amekaa kimya na bado hajawakemea watu waovu kwa matendo yao, walidhani kuwa Mungu amekubaliana na walichofanya. "ulifikiri kuwa mimi ni mtu nayetenda kama nyie"
|
||
|
|
||
|
# shutumu
|
||
|
|
||
|
"kemea" au "karipia"
|
||
|
|
||
|
# kuleta ... vitu vyote ulivyofanya
|
||
|
|
||
|
Mungu anazungumzia kuorodhesha mambo maovu yote waliyotenda. "orodhesha ... vitu vyote mlivyofanya"
|
||
|
|
||
|
# mbele ya macho yako
|
||
|
|
||
|
Hapa, kuwa "mbele ya macho yako" inamaanisha kuwa ni sehemu wanayoweza kuona. Hii inamaanisha kuwa hawataweza kukana mashtaka ambayo Mungu anawaletea. "mbele yenu" au "ili usiweze kuyakana"
|
||
|
|
||
|
# nyie mnaomsahau Mungu
|
||
|
|
||
|
Mungu anawazungumzia waovu kumkataa kana kwamba wamemsahau. "Anajizungumzia katika hali ya mtu wa tatu. "nyie mlio nikataa"
|
||
|
|
||
|
# nitawararua katika vipande
|
||
|
|
||
|
Mungu anazungumzia kuwaangamiza waovu kana kwamba ni simba anakula mawindo yake. "nitakuangamiza"
|