forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
475 B
Markdown
12 lines
475 B
Markdown
|
# Sita kulaumu kwa sadaka zako
|
||
|
|
||
|
"Nitakulaumu, ila sio kwa sadaka zako." Mungu anaeleza kuwa sadaka zao sio sababu ya kuwalaumu.
|
||
|
|
||
|
# laumu
|
||
|
|
||
|
"kemea" au "karipia"
|
||
|
|
||
|
# sadaka zako za kuteketeza daima ziko mbele yangu
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea kwa nini Mungu hawalaumu kwa ajili ya sadaka zao. Msemo huu " daima ziko mbele yangu" unamaanisha kuwa katika uwepo wa Mungu na unamaanisha kuwa watu wake daima wanatoa sadaka zao cha kuteketeza kwake. "huwa mnatoa sadaka zenu za kuteketeza kwangu"
|