forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
374 B
Markdown
13 lines
374 B
Markdown
|
# Kwa mfano wa utii wenu mwamfikia kila mmoja
|
||
|
|
||
|
"Wakati mnapomtii Yesu kila mmoja husikia hivyo"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wa amani hatakawia kumwangamiza Shetani chini ya nyayo zenu
|
||
|
|
||
|
Kivumishi "kumwangamiza chini ya nyayo" kinafafanua ushindi kamili juu ya adui. "Mungu hatakawia kukupa amani ya ushindi kamili dhidi ya Shetani"
|
||
|
|
||
|
# bila hatia mbele ya uovu
|
||
|
|
||
|
"Bila kuchanganywa katika uovu"
|
||
|
|