forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
643 B
Markdown
37 lines
643 B
Markdown
|
# Kauli unganishi
|
||
|
|
||
|
Kisha Paulo anasalimia waumini walio wengi huko Rumi kwa kutaja majina
|
||
|
|
||
|
# Namkabidhi kwenu Fibi
|
||
|
|
||
|
"Nawaomba mumheshimu Fibi"
|
||
|
|
||
|
# Fibi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamke
|
||
|
|
||
|
# dada yetu
|
||
|
|
||
|
Neno hili linamwelezea Paulo na waumin9 wote. "Dada yetu katika Kristo"
|
||
|
|
||
|
# Kenkrea
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa ni bandari ya mji wa Giriki.
|
||
|
|
||
|
# Mpokee katika Bwana
|
||
|
|
||
|
"Mkaribisheni kwasababu sisi sote tumemilikiwa na Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Katika kicho cha thamani cha waumini
|
||
|
|
||
|
" katika njia ambayo waumini wangeweza kukaribisha waumini wengine"
|
||
|
|
||
|
# simama pamoja naye
|
||
|
|
||
|
"Mmusaidie"
|
||
|
|
||
|
# amekuwa mhudumu wa wengi na wangu mwenywe pia
|
||
|
|
||
|
"amewahudumia watu wengu, na amenisaidia mimi pia"
|
||
|
|