forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
621 B
Markdown
17 lines
621 B
Markdown
|
# kwa sababu ya neema niliyopewa,
|
||
|
|
||
|
Hapa "neema" inaelezea Mungu alivyomchagua Pulo kuwa Mtume na kiongozi wa kanisa. "Kwa kuwa Mungu alinichagua kuwa Mtume"
|
||
|
|
||
|
# Kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yenu wenyewe kuliko mnavyopaswa kufikiri
|
||
|
|
||
|
"Kwamba mtu asifikiri kwamba ni bora zaidi ya watu wengine"
|
||
|
|
||
|
# Badala yake, mnapaswa kufikiri kwa njia ya hekima
|
||
|
|
||
|
"Lakini mnapaswa kuwa na hekimakwa namna mnavyofikiri kuhusu ninyi wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.
|
||
|
|
||
|
Ikiwa Mungu amewapa kila mmoja kiasi tofauti cha imani kwamba mnapaswa kufikiri kwa makini"
|
||
|
|