sw_tn/rev/22/03.md

9 lines
383 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Wala hapatakuwa na laana yoyote tena
Maana zinazowezekana ni 1) "Hakutakuwa na yeyote humo ... amabye Mungu atamlaani" (UDB) au 2) "Hakutakuwa na yeyote humo aliye chini ya laana ya Mungu."
# watumishi wake watamtumikia
Maana zinazowezekana za "wake" ni 1) neno hili linamaanisha Mungu Baba, au 2) linamaanisha Mungu na Mwanakondoo ambao wote wanatawala pamoja kama mtu mmoja.