forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
383 B
Markdown
9 lines
383 B
Markdown
|
# Wala hapatakuwa na laana yoyote tena
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "Hakutakuwa na yeyote humo ... amabye Mungu atamlaani" (UDB) au 2) "Hakutakuwa na yeyote humo aliye chini ya laana ya Mungu."
|
||
|
|
||
|
# watumishi wake watamtumikia
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana za "wake" ni 1) neno hili linamaanisha Mungu Baba, au 2) linamaanisha Mungu na Mwanakondoo ambao wote wanatawala pamoja kama mtu mmoja.
|
||
|
|