forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
410 B
Markdown
13 lines
410 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Yohana anaanza kuelezea sehemu ifuatayo ya maono yake. Huyu ni malaika wa kwanza kati ya watatu wanaotamkia dunia hukumu.
|
||
|
|
||
|
# kila taifa, kabila, lugha, na watu
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha watu kutoka kila kabila.
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana muda wa hukumu yake umekaribia
|
||
|
|
||
|
Kuwepo katika wakati wa sasa unazungumziwa kama umekuja. Wazo la "hukumu" linaweza kuoneshwa na kitenzi. "sasa ni muda wa Mungu kuhukumu watu"
|
||
|
|