forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
797 B
Markdown
29 lines
797 B
Markdown
|
# Malaika wote ... wenye uhai
|
||
|
|
||
|
"Malaika wote walisimama kuzunguka kiti cha enzi pamoja na wazee na wenye uhai wanne.
|
||
|
|
||
|
# viumbe wenye uhai wanne
|
||
|
|
||
|
Hawa ni viumbe wanne waliotajwa katika 4:6
|
||
|
|
||
|
# wakainama chini ardhini na wakaweka nyuso zao juu ya ardhi
|
||
|
|
||
|
"walisujudu"
|
||
|
|
||
|
# Sifa, utukufu ... kwa Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
"Mungu wetu anastahili sifa zote, utkufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Sifa, utukufu ... shukurani, heshima ... viwe kwa Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
Kitenzi "toa" inaweza kutumika kuonesha jinsi gani sifa, utukufu, na heshima "niza" Mungu. "Tunapaswa kumpa sifa , utukufu, shukrani, na heshima Mungu wetu"
|
||
|
|
||
|
# hekima ... uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
"Mungu wetu ana hekima yote, uwezo na nguvu"
|
||
|
|
||
|
# milele na milele
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yanamaana moja na yanasisitiza kuwa sifa haitaisha.
|
||
|
|