forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
569 B
Markdown
21 lines
569 B
Markdown
|
# Macho yangu yanachoka ninaposubiri
|
||
|
|
||
|
Hapa "macho" yanawakilisha mtu mzima. "Ninachoka kwa sababu ninasubiri na kusubiri"
|
||
|
|
||
|
# kwa wokovu wako na kwa neno lako la haki
|
||
|
|
||
|
"ili uniokoe kama ulivyoahidi kufanya"
|
||
|
|
||
|
# neno lako la haki
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana na watu. "ahadi yako ya haki"
|
||
|
|
||
|
# Mwoneshe mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anajizungumzia mwenyewe kama "mtumishi wako." "Nioneshe" au "Nioneshe mimi, mtumishi wako"
|
||
|
|
||
|
# uaminifu wako wa agano
|
||
|
|
||
|
"kwamba unanipenda kwa uaminifu" au "kwa kuwa wewe ni mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako"
|
||
|
|