forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
758 B
Markdown
25 lines
758 B
Markdown
|
# Mbingu zinasifu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mbingu" inawakilisha wale walio mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# zinasifu maajabu yako, Yahwe
|
||
|
|
||
|
"zinakusifu, Yahwe, kwa sababu ya mambo ya ajabu unayotenda"
|
||
|
|
||
|
# ukweli wako unasifiwa katika kusanyiko la watakatifu wako
|
||
|
|
||
|
"Mkusanyiko wa watakatifu hukusifu kwa sababu daima huwa unafanya ulichoahidi kufanya"
|
||
|
|
||
|
# kusanyiko la watakatifu wako
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha malaika mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa ni nani angani anaweza kulinganishwa na Yahwe? Nani miongoni mwa wana wa miungu ni kama Yahwe?
|
||
|
|
||
|
Maswali haya yote yana maana moja. Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kuwa hakuna mtu kama Yahwe mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# wana wa miungu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wana" inamaanisha kuwa na sifa za. HIi ni njia ya kumaanisha viumbe vya kiroho vinavyoishi mbinguni. "malaika" au "viumbe vitakatifu"
|
||
|
|