forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
358 B
Markdown
21 lines
358 B
Markdown
|
# Mwaga gadhabu yako juu yao
|
||
|
|
||
|
Mungu kuonesha hasira yake inaelezwa kana kwamba aliimwaga juu ya adui zake kama maji.
|
||
|
|
||
|
# gadhabu
|
||
|
|
||
|
"hasira kali" au "hasira'
|
||
|
|
||
|
# ukali wa hasira yako
|
||
|
|
||
|
"hasira yako ya moto" au "hasira yako kali"
|
||
|
|
||
|
# uwapite
|
||
|
|
||
|
Hukumu ya Mungu kwa adui zake unaelezwa kana kwamba aliwafukuza na kuwashika.
|
||
|
|
||
|
# iwe ya kuhuzunisha
|
||
|
|
||
|
"kuwa imetelekezwa"
|
||
|
|