sw_tn/psa/007/008.md

13 lines
276 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# nithibitishe
"waoneshe kuwa sina hatia"
# imarisha watu wenye haki
"wafanye watu wenye haki kuwa imara" au "wafanye watu wenye haki wafanikiwe"
# wewe unayechunguza mioyo na akili
Mioyo na akili zinaashiria tamaa na mawazo ya watu. "wewe unayejua mawazo yao ya ndani"