forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
276 B
Markdown
13 lines
276 B
Markdown
|
# nithibitishe
|
||
|
|
||
|
"waoneshe kuwa sina hatia"
|
||
|
|
||
|
# imarisha watu wenye haki
|
||
|
|
||
|
"wafanye watu wenye haki kuwa imara" au "wafanye watu wenye haki wafanikiwe"
|
||
|
|
||
|
# wewe unayechunguza mioyo na akili
|
||
|
|
||
|
Mioyo na akili zinaashiria tamaa na mawazo ya watu. "wewe unayejua mawazo yao ya ndani"
|
||
|
|