forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
418 B
Markdown
17 lines
418 B
Markdown
|
# kambini
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu wanaokaa maaskari.
|
||
|
|
||
|
# kikosi
|
||
|
|
||
|
"Idadi kubwa" au "wengi"
|
||
|
|
||
|
# Wakamvika Yesu vazi la zambarau
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa tendo la kejeli. Zambarau ilikuwa rangi inayoonesha mamlaka na kumvalisha ni namna ya kudhihaki cheo chake, "Mfalme wa Wayahudi."
|
||
|
|
||
|
# Wakaanza kumpigia kumdhihaki na kusema, "salaam, Mfalme wa Wayahudi!"
|
||
|
|
||
|
Maaskari walimdhihaki Yesu kwa sababu hawakuamini kwamba alikuwa Mfalme wa Wayahudi.
|
||
|
|