sw_tn/mrk/13/intro.md

17 lines
666 B
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Marko 13 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 13:24-25, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kurudi kwa Kristo
Yesu alisema mengi juu ya kile kitatokea kabla ya kurudi kwake (Marko 13:6-37). Aliwaambia wafuasi wake kwamba mambo mabaya yatatokea ulimwenguni na mambo mabaya yatawatokea kabla ya kurudi, lakini walistahili kuwa tayari kwa kurudi kwake wakati wowote.
## Links:
* __[Mark 13:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../12/intro.md) | [>>](../14/intro.md)__