forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
666 B
Markdown
17 lines
666 B
Markdown
|
# Marko 13 Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
### Muundo na upangiliaji
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 13:24-25, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
### Dhana maalum katika sura hii
|
||
|
|
||
|
#### Kurudi kwa Kristo
|
||
|
|
||
|
Yesu alisema mengi juu ya kile kitatokea kabla ya kurudi kwake (Marko 13:6-37). Aliwaambia wafuasi wake kwamba mambo mabaya yatatokea ulimwenguni na mambo mabaya yatawatokea kabla ya kurudi, lakini walistahili kuwa tayari kwa kurudi kwake wakati wowote.
|
||
|
|
||
|
## Links:
|
||
|
|
||
|
* __[Mark 13:01 Notes](./01.md)__
|
||
|
|
||
|
__[<<](../12/intro.md) | [>>](../14/intro.md)__
|