forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
1.2 KiB
Markdown
41 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Kweli, nawambieni
|
||
|
|
||
|
Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata hasa ni kweli na muhimu.
|
||
|
|
||
|
# hakitapita
|
||
|
|
||
|
Ni njia ya kistaarabu kusema juu ya mtu fulani kufa. "hatakufa" au "hatakoma"
|
||
|
|
||
|
# mambo haya hayajatokea
|
||
|
|
||
|
Kifungu "mambo haya" urejea kwa siku za mateso.
|
||
|
|
||
|
# Mbingu na nchi
|
||
|
|
||
|
Huku kulikokithiri kunarejea mbingu zote, pamoja na jua, mwezi, nyote, na sayari na ulimwengu wote.
|
||
|
|
||
|
# zitapita
|
||
|
|
||
|
"itakoma kuishi" Kifungu hiki urejea kwa mwisho wa ulimwengu.
|
||
|
|
||
|
# maneno yangu hayatapita kamwe
|
||
|
|
||
|
Yesu huzungumza maneno yakutopoteza nguvu zao kama wangekuwa kitu fulani ambacho kamwe hakitakufa. "maneno yangu kwamwe hayatawapotezea nguvu zao"
|
||
|
|
||
|
# siku hiyo au saa hiyo
|
||
|
|
||
|
HIi urejea kwa wakati ambapo Mwana wa Adamu atarudi. "siku hiyo au saa hiyo ambapo Mwana wa Adamu atarudi" au " siku hiyo au saa hiyo ambapo nitarudi"
|
||
|
|
||
|
# hata malaika wa mbinguni, wala Mwana
|
||
|
|
||
|
Haya yametajwa kati ya wale wasiojua lini Mwana wa Adamu atarudi. "hata malaika mbinguni au Mwana anajua"
|
||
|
|
||
|
# malaika mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hapa "mbinguni" urejea kwenye eneo ambalo Mungu huishi.
|
||
|
|
||
|
# ila Baba
|
||
|
|
||
|
Ni vizuri kutofasiri "Baba" na neno hilo ambalo lugha yako ya asili hutumia kurejea kwa baba wa kibinadamu. Pia, hii ni umboyai ambayo husema kwamba Baba anajua lini Mwana atarudi. "ila ni Baba anajua"
|
||
|
|