forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
497 B
Markdown
25 lines
497 B
Markdown
|
# Unapungukiwa kitu kimoja
|
||
|
|
||
|
"Kuna kitu kimoja unapngukiwa." Hapa Yesu anazungumza juu ya tendo la kutofanya kitu fulani" kama "kupungukiwa." "Kuna kimoja ambacho haujafanya"
|
||
|
|
||
|
# unapungukiwa
|
||
|
|
||
|
hauna kitu fulani
|
||
|
|
||
|
# uwape masikini
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "u" urejea kwa vitu anavyouza na ni kifungu cha maneno kinachosimama badala ya pesa mtu anayopokea anapouza. "wape masikini pesa"
|
||
|
|
||
|
# masikini
|
||
|
|
||
|
Hii urejea kwa masikini. "watu masikini"
|
||
|
|
||
|
# hazina
|
||
|
|
||
|
"utajiri"
|
||
|
|
||
|
# alikuwa na miliki nyingi
|
||
|
|
||
|
"alimiliki vitu vingi"
|
||
|
|