forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
585 B
Markdown
21 lines
585 B
Markdown
|
# Katika kizazi hiki cha zinaa na dhambi
|
||
|
|
||
|
Yesu anazungumza juu ya kizazi hiki kama "wazizi" akimaanisha kwamba si waaminifu katika mahusiano yao na Mungu. "katika kizazi hiki cha watu waliojiingiza katika uzizi kinyume na Mungu na niwazinifu" au "katika kizazi hiki cha watu wasio waaminifu kwa Mungu na ni wenye dhambi"
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la muhimu sana kwa Yesu
|
||
|
|
||
|
# atakapokuja
|
||
|
|
||
|
"atakapokuja tena"
|
||
|
|
||
|
# katika utukufu wa Baba yake
|
||
|
|
||
|
Wakati ambapo Yesu anakuja atakuwa na utukufu ule ule kama wa Baba yake
|
||
|
|
||
|
# pamoja na malaika watakatifu
|
||
|
|
||
|
"atafuatana na malaika watakatifu"
|
||
|
|