forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
549 B
Markdown
33 lines
549 B
Markdown
|
# wenye haki
|
||
|
|
||
|
watu wenye haki
|
||
|
|
||
|
# au kiu ... au uchi
|
||
|
|
||
|
"au ni lini tulipokuwa ukiwa na kiuau nilini tulipokuona u uchi"
|
||
|
|
||
|
# Mfalme.
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo kingine cha Mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
# na kuwaambia
|
||
|
|
||
|
"Akasema na wale walio mkono wa kulia."
|
||
|
|
||
|
# Kweli nawaambia
|
||
|
|
||
|
"Nawaambia ukweli, "Huu ni msisitizo wa kile ambacho Yesu alikuja kusema baadaye"
|
||
|
|
||
|
# kwa mmoja wa ndugu zangu wadogo
|
||
|
|
||
|
"mmoja wa wasio wa muhimu"
|
||
|
|
||
|
# Ndugu zangu
|
||
|
|
||
|
"kaka zangu na dada" au "hawa ambao ni kama kaka zangu na dada zangu
|
||
|
|
||
|
# mlinitendea mimi
|
||
|
|
||
|
"Ninajali kwamba mlifanya hivyo kwa ajili yangu."
|
||
|
|