forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
504 B
Markdown
21 lines
504 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea mfano wa wanawali wenyebusara na wale wanawali wajinga kufundisha kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu
|
||
|
|
||
|
# ufslme wa mbinguni utafananishwa na
|
||
|
|
||
|
Tazama 13:24
|
||
|
|
||
|
# Lamps.
|
||
|
|
||
|
Hizi ziliweza kuwa, 1.taa zenyewe au mienge iliyotengenezwa kwa kuwekewa kitambaa kuzunguka mwisho wa mti na hulowanishwa na mafuta.
|
||
|
|
||
|
# Watano kati yao.
|
||
|
|
||
|
Watano kati ya wanawali.
|
||
|
|
||
|
# Hawakuchukua mafuta yoyote.
|
||
|
|
||
|
"Waliyokuwa nayo ni yale tu yaliyokuwa katika taa zao."
|
||
|
|