forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
753 B
Markdown
25 lines
753 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Katika mstari wa 5, Yesu ananukuu kutoka Mwanzo kuonesha kuwa Mume na mke hawatakiwi kuachana
|
||
|
|
||
|
# Na yeyealiyewaumba pia alisema, 'kwa sababu hii ...mwili mmoja?
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwandelezo wa swali ambal oYesu alilitumia kuwaliza Mafarisayo katika 19:3. Hii nukuu ya moja kwa moja inaweza kuelezwa kama nukuu isyo ya moja kwa moja. Kwa hakika mnajua kuwa Mungu alisema kuwa kwa sababu hii...mwili mmoja.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu hii
|
||
|
|
||
|
sababu ya mwanamume kumwacha baba na mama ni kwamba Mungu alimuumba mwanamke kuwa msaidizi wa mwanamume
|
||
|
|
||
|
# Ungana na mke wake
|
||
|
|
||
|
"Kaa na mke wake"
|
||
|
|
||
|
# Na wale wawili watakuwa mwili mmoja
|
||
|
|
||
|
"watakuwa kama mwili mmoja"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo si wawili tena, bali mwili mmoja
|
||
|
|
||
|
Kwahiyo mwanamume na mwanake siwawil tena bali mwili mmoja"
|
||
|
|