forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
831 B
Markdown
41 lines
831 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaeleza jinsi Yesu alivyopokea taarifa za kuuawa kwa Yohana mbatizaji.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inatoa historia yaju ya muujiza ambao Yesu anataka kuufanya wa kulisha watu elfu tano.
|
||
|
|
||
|
# Naye
|
||
|
|
||
|
Neno hili limetumika hapa kama mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari hii.
|
||
|
|
||
|
# ulipofahamu
|
||
|
|
||
|
" walposika kilichoteka kwa Yohana au waliposikia habari za Yohana
|
||
|
|
||
|
# akajitenga
|
||
|
|
||
|
"aliondoka" au "alaienda mbali n a kundi
|
||
|
|
||
|
# kutoka mahali pale
|
||
|
|
||
|
"kutoka eneo hilo"
|
||
|
|
||
|
# wakati umati ulipofahamu
|
||
|
|
||
|
"wakati umati waliposikia kule Yesu alikokuwa ameenda
|
||
|
|
||
|
# umati
|
||
|
|
||
|
"makutano ya watu" aua "kundi kubwa la watu"
|
||
|
|
||
|
# kwa miguu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa wale watu walikuwa wkitembea
|
||
|
|
||
|
# kisha Yesualikuja mbele zao akauona umati
|
||
|
|
||
|
Yesu alipokuja karibu na ufukwe akauona umati wa watu
|
||
|
|