forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
632 B
Markdown
25 lines
632 B
Markdown
|
# maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Huu nimwanzo wa simulizi jipaya amabapo Yesu anaanza kufundisha makutano, kwa kutumia mifano juu ya ufalme wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
# katika siku hiyo
|
||
|
|
||
|
Tukio hili liltokea siku hiyohiyo sawa na yale yaliyo kwenye sura iliyopita.
|
||
|
|
||
|
# alikaa kando ya bahari
|
||
|
|
||
|
ilimaanisha kuwa alikaa chini kuwafundishsa watu.
|
||
|
|
||
|
# aliondoka nyumbani
|
||
|
|
||
|
Haijatajwa kuwa ilikuwa nyumba ya nani ambayo Yesu alikuwa akiishi
|
||
|
|
||
|
# aliingia nadni ya mtumbwi
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kuwa Yesu aliingia kwenye mtumbwi kwa sababu ingemfanya iwe rahisi kuwafundisha watu.
|
||
|
|
||
|
# mtumbwi
|
||
|
|
||
|
Huu yawezekana mtumbwi wa wazi, uliotengenezwa kwa miti wa kuvulia samaki wenye tanga.
|
||
|
|