forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
1.1 KiB
Markdown
33 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# haitakiwi kuwa hivi kwenu ninyi
|
||
|
|
||
|
"msifanye kama hivyo"
|
||
|
|
||
|
# mdogo kabisa
|
||
|
|
||
|
Viongozi walikuwa mara nyingi watu wazima na waliitwa "wazee," "vijana wadogo" walikuwa na uwezekano mdogo wa kuongoza. Tafsiri mbadala: "enye umuhimu wa mwisho"
|
||
|
|
||
|
# Kwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaunganisha amri ya Yesu mstari wa 26 na mstari mzima wa 27. Inamaanisha kwamba mtu wa muhimu zaidi anatakiwa kutumika kwa sababu Yesu ni mtumishi.
|
||
|
|
||
|
# yule anayetumika
|
||
|
|
||
|
"yule anayehudumia chakula" au "yule anayewahudumia waliokaa." Hii inamaanisha mtumishi.
|
||
|
|
||
|
# yupi mkubwa....tumika?
|
||
|
|
||
|
"nani aliye wa muhimu....atumike?" Yesu anatumia swali kutambulisha jibu lake kwa swali la mitume kuhusu ukubwa. Tafsiri mbadala: "Nataka ninyi mfikiri kuhusu nani aliye mkubwa...atumike."
|
||
|
|
||
|
# yule aketie mezani
|
||
|
|
||
|
"yule anayekula chakula"
|
||
|
|
||
|
# si yule aketiye mezani?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali jingine kuwafundisha wanafunzi. Tafsiri mbadala: "Bila shaka yule aketie mezani ni wa muhimu zaidi kuliko mtumishi!"
|
||
|
|
||
|
# Na mimi bado ni kati yenu kama atumikaye
|
||
|
|
||
|
"Bado nawatumikia." Neno "bado" liko hapa kwasababu kunautofautishaji kati ya kile ambacho watu wangetegemea Yesu kuwa na kile ambacho kweli yuko.
|
||
|
|