forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
1.0 KiB
Markdown
29 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya ujumla:
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. Yuda anakubali kumsaliti Yesu. Mistari hii inatupa taarifa za msingi kuhusu sehemu hii ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Basi
|
||
|
|
||
|
Neno hili linatumika hapa sehemu mpya ya simulizi
|
||
|
|
||
|
# sikukuu ya mkate usiyotiwa chachu
|
||
|
|
||
|
sikukuu hii ilikuwa inaitwa kwa jina hili kwa sababu wakati wa sikukuu, Wayahudi hawakula mkate ambao ulikuwa umetengenezwa na chachu. Tafsiri mbadala: "Sikukuu ambapo wangekula mkate usiyotiwa chachu"
|
||
|
|
||
|
# Mkate usiyotiwa chachu
|
||
|
|
||
|
Huu ni mkate ambao hauna chachu au hamila ili kuufanya uumuke. Tafsiri mbadala: "Mkate bila Hamila."
|
||
|
|
||
|
# ilikuwa imekaribia
|
||
|
|
||
|
"ilikuwa tayari sana kuanza"
|
||
|
|
||
|
# namna ya kumuua Yesu
|
||
|
|
||
|
Makuhani na waandishi hawakuwa na mamlaka ya kumuua Yesu wao wenyewe, lakini walitegemea kupata watu wengine wa kumuua. Tafsiri mbadala: "Namna gani ambavyo wangesababisha Yesu kuuwawa" au "namna ambavyo wangesababisha mtu amuuwe Yesu."
|
||
|
|
||
|
# waliwaogopa watu
|
||
|
|
||
|
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "walikuwa na wasiwasi wa kile ambacho watu wangefanya" au 2) "walikuwa na wasiwasi kwamba watu wangemfanya Yesu mfalme."
|
||
|
|