forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
759 B
Markdown
33 lines
759 B
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha
|
||
|
|
||
|
Yesu anaanza kuwajibu Masadukayo
|
||
|
|
||
|
# Wana wa ulimwengu huu
|
||
|
|
||
|
"Watu wa ulimwengu huu" au "watu wa nyakati hizi." Hii inapingana na wale walioko mbingini na watu watakaoishi baada ya ufufuo.
|
||
|
|
||
|
# Kuoa na kuolewa
|
||
|
|
||
|
Kwa tamaduni hiyo wanaongelea juu ya mwanaume kumuoa mwanamke na mwanamke kupelekwa kwenye ndoa kwa mume wake "kuolewa."
|
||
|
|
||
|
# Wao wanaostahili
|
||
|
|
||
|
"watu ambao Mungu anawaona kuwa wanastahili"
|
||
|
|
||
|
# Kupokea ufufuo toka kwa waliokufa
|
||
|
|
||
|
"kufufuliwa toka kwa wafu" au "kufufuka toka kwa wafu"
|
||
|
|
||
|
# Hawataoa wala hawataolewa
|
||
|
|
||
|
"Hawataoa." Hii ni baada ya ufufuo.
|
||
|
|
||
|
# Hawatakufa tena
|
||
|
|
||
|
Hii ni baada ya ufufuo. "Hawatakuwa na uwezo wa kufa tena."
|
||
|
|
||
|
# na wana wa Mungu watakuw wana wa ufufuo
|
||
|
|
||
|
"ni watoto wa Mungu maana amewatoa toka kwenye kifo"
|
||
|
|