forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
365 B
Markdown
17 lines
365 B
Markdown
|
# Yesu alielewa mtego wao
|
||
|
|
||
|
"lakini Yesu alitambua mtego wao ulivyokuwa" au " lakini Yesu alione kuwa walikuwa wanajaribu wanamtega" neno "wao" linamaanisha wapelelezi"
|
||
|
|
||
|
# Dinari
|
||
|
|
||
|
Hii ni sarafu ya Kirumi yenye thamani ya mshahara wa siku.
|
||
|
|
||
|
# Ni sura na chapa ya nani ipo juu yake
|
||
|
|
||
|
Yesu alitumia swali kuwajibu waliokuwa wanamtega.
|
||
|
|
||
|
# Sura na chapa
|
||
|
|
||
|
"picha na jina"
|
||
|
|