forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
680 B
Markdown
41 lines
680 B
Markdown
|
# Aliwaita
|
||
|
|
||
|
Ofisa aliwaita
|
||
|
|
||
|
# Akawapa mafungu kumi
|
||
|
|
||
|
"akawapa kila mtu fungu moja"
|
||
|
|
||
|
# Mafungu kumi
|
||
|
|
||
|
Fungu ni gramu 600. kila fungu linathamani ya malipo ya miezi minne ya mtu, "Sarafu kumi" au "kiasi kikubwa cha pesa"
|
||
|
|
||
|
# Fanya biashara
|
||
|
|
||
|
"fanya biashara na pesa hizi" au "tumia hizi pesa ili upate zaidi"
|
||
|
|
||
|
# Wananchi wake
|
||
|
|
||
|
Watu wa nchi yake"
|
||
|
|
||
|
# Mabalozi
|
||
|
|
||
|
"wawakilishi" au "wajumbe"
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Neno hili limetumika kuonyesha umuhimu wa tukio kwenye simulizi. Kama lugha yako ina namna nyingine ya kufanya hivi unaweza ukaitumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# Baada ya kuupokea ufalme
|
||
|
|
||
|
"Baada ya kuwa Mfalme"
|
||
|
|
||
|
# Waitwe kwake
|
||
|
|
||
|
"kwenda kwake"
|
||
|
|
||
|
# Mmetengeneza faida kiasi gani
|
||
|
|
||
|
"ni pesa kiasi gani waliipata"
|
||
|
|