forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
547 B
Markdown
25 lines
547 B
Markdown
|
# taarifa unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anamaliza kuwaambia mfano makutano
|
||
|
|
||
|
# zikasongwa
|
||
|
|
||
|
Miti ya miiba ikachukua madini, maji, na mwanga, kwa hiyo miche ya mkulima haikukua vizuri.
|
||
|
|
||
|
# zikazaa mazao
|
||
|
|
||
|
"Kuzaa mavuno" au "Kuzaa mbegu zaidi"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote mwenye masikio ya kusikia na asikie.
|
||
|
|
||
|
inaweza kuwa ni kiasili sana kwa baadhi ya lugha kutumia nafsi ya pili: "Wewe mwenye sikio la kusikia, sikia."
|
||
|
|
||
|
# Yeyotemwenye sikio la kusikia
|
||
|
|
||
|
" Anayeweza kusikia" au "Yeyote anayenisikia mimi"
|
||
|
|
||
|
# na asikie
|
||
|
|
||
|
"Na asikilize vizuri" au "na awe makini kwa kile ninachokisema"
|
||
|
|