forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
966 B
Markdown
25 lines
966 B
Markdown
|
# Maelezo kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi, Luka, kanukuu mstari kutoka nabii Isaya tokana na Yohana Mbatizaji.
|
||
|
|
||
|
# Kama ilivyoandikwa...nabii
|
||
|
|
||
|
Misitari 4-6 ni nukuu kutoka Isaya. Ingeweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Hii ilitokea kama Isaya alivyokuwa ameandika katika kitabu chake" au "Yohana aliyatimiza maneno ambayo Isaya alikuwa ameyaandika katika kitabu chake."
|
||
|
|
||
|
# Sauti ya mtu inapazwa nyikani
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kudhihirishwa kama sentensi. NI: "Sauti ya mmoja inapazwa ikisikika katika nyika" au "Wanasikia sauti ya mtu fulani inapazwa katika nyika"
|
||
|
|
||
|
# Itengenezeni njia ya Bwana ... tengeneza mapito kwa unyoofu
|
||
|
|
||
|
Kauli hizi mbili kimsingi ni kitu kile kile.
|
||
|
|
||
|
# Tayarisha njia ya Bwana
|
||
|
|
||
|
"Andaa njia kwaajili ya Bwana." Kufanya hivi kunawakilisha kujiandaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. NI: "Andaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja" au "Tubu na uwe tayari kwaajili ya ujio wa Bwana"
|
||
|
|
||
|
# njia
|
||
|
|
||
|
"pa kupita" au "barabara"
|
||
|
|