forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
483 B
Markdown
17 lines
483 B
Markdown
|
# damu ya fahali
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo ya sura 16:11
|
||
|
|
||
|
# kuinyunyiza kwa kidole chake
|
||
|
|
||
|
Alitumia kidole chake kurushia damu
|
||
|
|
||
|
# upande wa mbele wa kifuniko cha upatanisho
|
||
|
|
||
|
Aliiweka hiyo damu upande wa juu wa kifuniko. pia aliiweka upande wa pembeni mwa kifuniko uliomwelekea alipoingia eneo la patakatifu pa patakatifu
|
||
|
|
||
|
# mbele za kifuniko cha upatanisho
|
||
|
|
||
|
Maana zinazo wezekani ni 1) "chini ya kifuniko cha upatanisho kenye sanduku" au 2) ardhini chini ya mbele ya kifuniko cha upatanisho."
|
||
|
|