forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
551 B
Markdown
13 lines
551 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya Manase wanatoa majibu yao sasa.
|
||
|
|
||
|
# watoto wenu wanaweza kuwaambia watoto wetu.....Mungu wa Israeli?
|
||
|
|
||
|
Haya ni mashitaka ya kinadharia ambayo makabila haya matatu yanadhani kuwa watoto wa makabila mengine wangeweza kufanya kwa wakati ujao.
|
||
|
|
||
|
# Mna nini ninyi na Yahweh, Mungu wa Israeli?
|
||
|
|
||
|
Makabila matatu yanatumia swali lisilohitaji majibu ili kutilia mkazo juu ya hali ambayo walikuwa wakiiepuka. Swali hili laweza kuandikwa kama maelezo. "Hamna kitu cha kufanya na Yahweh, Mungu wa Israeli."
|
||
|
|