forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
615 B
Markdown
21 lines
615 B
Markdown
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
# Niaminini
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "amini" maana yake ni kukubali au kutumaini kile ambacho mtu huyo amesema ni cha kweli.
|
||
|
|
||
|
# Ziaminini kazi
|
||
|
|
||
|
Hapa "Zizminini" maana yake kutumaini kuwa kitu ni cha kweli na kutenda kwa njia hiyo inayoonyesha imani hiyo.
|
||
|
|
||
|
# Baba yu ndani yangu na kwamba mimi ni ndani ya Baba
|
||
|
|
||
|
Mungu Baba yuko ndani ya Yesu, Mwana wa Mungu, kwa sababu Mungu Mwana yu ndani ya Baba. Kama nafsi za Mungu, Baba na Mwana wote ni Mungu mmoja wa milele, pamoja na Mungu Roho.
|
||
|
|
||
|
# mkono wao
|
||
|
|
||
|
"ufahamu wao." Hii maana ya ke ni kuwa katika nafasi isiyo salama anapoweza kukamatwa.
|
||
|
|