forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
556 B
Markdown
21 lines
556 B
Markdown
|
# Amini, amini
|
||
|
|
||
|
Tafsiri hili kama ulivyo tafsiri maneno kama haya.
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu ndiye awapaye mkate wa kweli kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Baba anatupa "mkate wa kweli" kutoka mbinguni, Mwanae Yesu. Pamoja Baba na Mwana pamoja na Roho Mtakatifu wanawapa watu maisha ya kimwili, kiroho na maisha ya milele.
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mkate wa kweli
|
||
|
|
||
|
Yesu anajilinganisha na mkate. Kama vile mkate uliyo muhimu kwa ajili ya maisha yetu ya mwili, Yesu ni wa muhimu kwa ajili ya maisha yetu ya kiroho.
|
||
|
|
||
|
# uzima
|
||
|
|
||
|
hili lina maanisha uzima wa kiroho.
|
||
|
|