forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
423 B
Markdown
17 lines
423 B
Markdown
|
# Kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake, vivyo hivyo amempa Mwana ili awe na uzima ndani yake
|
||
|
|
||
|
Neno "kwa" linaonyesha ulinganifu. Mwana wa Mungu ana uzima sawa kama aliona nao Baba.
|
||
|
|
||
|
# Baba...Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea ushirika kati ya Mungu na Yesu.
|
||
|
|
||
|
# uzima
|
||
|
|
||
|
hii ina maanisha uzima wa kiroho
|
||
|
|
||
|
# Baba amempa Mwana Mwana uwezo kufanya hukumu
|
||
|
|
||
|
Mwana wa Mungu ana mamlaka ya Mungu Baba kuhukumu.
|
||
|
|