forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
473 B
Markdown
13 lines
473 B
Markdown
|
# Kiunganishi cha Sentesi:
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake.
|
||
|
|
||
|
# Mmoja hupanda na mwingine huvuna
|
||
|
|
||
|
Maneno "kupanda" na kuvuna ni maneno ya lugha ya picha. Yeye anayepanda anashirikisha ujumbe wa Yesu. Yeye anayevuna anawasaidia watu kupokea ujumbe wa Yesu." Mtu mmoja hupanda mbegu, na mwingine huvuna mazao."
|
||
|
|
||
|
# ninyi wenyewe mmeingia katika kazi zao
|
||
|
|
||
|
ninyi wenyewe hutia msisitizo kwa neno "wewe" tafsiri hili katika lugha yako katika namna ya kumsisitiza mtu.
|
||
|
|