forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
368 B
Markdown
17 lines
368 B
Markdown
|
# Mtu hawezi kupokea kitu chochote isipokuwa
|
||
|
|
||
|
"Hakuna mtu aliye na nguvu isipokuwa"
|
||
|
|
||
|
# amepewa kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Neno "mbinguni" likimaanisha Mungu. Hili linaweza kuchukuliwa katika muundo tenda. " Mungu amempa."
|
||
|
|
||
|
# ninyi wenyewe
|
||
|
|
||
|
ninyi ni kwa wingi na inamaanisha watu wote ambao Yohana anazungumza nao.
|
||
|
|
||
|
# nimetuma mbele zake
|
||
|
|
||
|
"Mungu amenituma kufika kabla yake."
|
||
|
|