forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
446 B
Markdown
21 lines
446 B
Markdown
|
# Maneno kwa Ujumla:
|
||
|
|
||
|
Nikodemo anakuja kumwona Yesu.
|
||
|
|
||
|
# sasa
|
||
|
|
||
|
Neno hili lintumika hapa kutambulisha sehemu nyingine ya hadithi na kumtambulisha Nikodemo.
|
||
|
|
||
|
# mjumbe
|
||
|
|
||
|
sehemu ya kundi
|
||
|
|
||
|
# Halimashauli ya Wayahudi
|
||
|
|
||
|
hHalimashauli ya Kiyahudi inaitwa "Sanihedrini." Hili lilikuwa ndilo baraza muhimu kwa mabaraza yote ya Kiyahudi.
|
||
|
|
||
|
# twafahamu
|
||
|
|
||
|
hapa "sisi" linajumuisha, likimaanisha tu kwa Nikodemo na wanachama wengine wa halimashauli ya Kiyahudi.
|
||
|
|