forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
692 B
Markdown
41 lines
692 B
Markdown
|
# Huu ubani unaopanda kutoka Sheba una maana gani kwangu? au huu udi kutoka nchi ya mbali?
|
||
|
|
||
|
Sihitaji ubani kutoka Sheba au harufu nzuri ya mafuta kutoka nchi ya mbali?
|
||
|
|
||
|
# huu udi
|
||
|
|
||
|
Hii harufu nzuri ilitumiKa kumwabudu Mungu hekaluni
|
||
|
|
||
|
# hazikubaliki kwangu
|
||
|
|
||
|
"havinifurahishi"
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kiinachofuata, "kwa kweli"
|
||
|
|
||
|
# Niko tayari kuweka kikwazo dhidi ya watu hawa
|
||
|
|
||
|
""Niko tayari kuweka kikwazo mbele ya watu hawa"
|
||
|
|
||
|
# kikwazo
|
||
|
|
||
|
magumu
|
||
|
|
||
|
# juu yake
|
||
|
|
||
|
"juu yao"
|
||
|
|
||
|
# baba na watoto wao
|
||
|
|
||
|
"baba na watoto wote watajikwaa"
|
||
|
|
||
|
# wakazi na jirani zao
|
||
|
|
||
|
"majirani na marafiki"
|
||
|
|
||
|
# limechochewa kutoka nchi ya mbali
|
||
|
|
||
|
"limehuhishwa ili lije kutoka maeneo ya mbali"
|
||
|
|