forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
773 B
Markdown
29 lines
773 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yakobo anabadilisha mada toka kwenye kuwakemea matajiri na kuwapa mawaidha waamini.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Kwa kufunga Yakobo anawakumbusha waamini kuhusu ujio wa Bwana na kuwapa mafundisho mafupi namna ya kuishi kwa ajili ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo vumilieni
|
||
|
|
||
|
"Kwa ajili ya hili kuweni na subira na uvumilivu"
|
||
|
|
||
|
# mpaka ujio wa Bwana
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaelezea ujio wa Yesu, atakapoanzisha ufalme wake duniani na kuhukumu watu wote. "Mpaka Kristo atakapokuja"
|
||
|
|
||
|
# Mkulima
|
||
|
|
||
|
Katika mazungumzo haya Yakobo anatumia mkulima na mwamini kuelezea namna ya kuwa mvumilivu.
|
||
|
|
||
|
# Kazeni mioyo yenu
|
||
|
|
||
|
Yakobo anawataka waamini wawe na mioyo thabiti na kuwa na msimamo. "Kuweni na msimamo" au "Ifanyeni imara mioyo yenu"
|
||
|
|
||
|
# kuja kwake Bwana ni karibu.
|
||
|
|
||
|
"Bwana atarudi mapema"
|
||
|
|