forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
778 B
Markdown
41 lines
778 B
Markdown
|
# kujiona mwenyewe kuwa mtu wa dini
|
||
|
|
||
|
"Anadhani anamuabudu Mungu kwa usahihi
|
||
|
|
||
|
# Ulimi wake
|
||
|
|
||
|
Kuudhibiti ulimi wa mtu inamaanisha kudhibiti kauli zake.
|
||
|
|
||
|
# udanganyifu
|
||
|
|
||
|
"mjinga" au "kupotosha"
|
||
|
|
||
|
# Moyo wake
|
||
|
|
||
|
Hapa moyo inamaanisha imani yake au mtazamo wake.
|
||
|
|
||
|
# Dini yake ni bure
|
||
|
|
||
|
"Anamuabudu Mungu bure"
|
||
|
|
||
|
# Safi na isiyoharibiwa
|
||
|
|
||
|
Yakobo anaizungumzia dini , namna watu wanavyomuabudu Mungu kama kitu amabacho ni safi na kisichoharibiwa. Hii ni utamaduni wa Kiyahudi kuelezea namna ambavyo kitu kimekubalika na Mungu. "kukubalika kabisa"
|
||
|
|
||
|
# mbele za Mungu wetu na Baba
|
||
|
|
||
|
Anaelezewa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Yatima
|
||
|
|
||
|
Yatima
|
||
|
|
||
|
# Wajane katika mateso yao
|
||
|
|
||
|
Wanawake wanaoteseka kwa sababu waume zao wamefariki.
|
||
|
|
||
|
# Kujilinda na ufisadi wa dunia
|
||
|
|
||
|
Kutokubali uovu wa dunia hii ukakusababisha ukatenda dhambi
|
||
|
|