forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
394 B
Markdown
17 lines
394 B
Markdown
|
# Wanaandaa
|
||
|
|
||
|
Hapa "wanaandaa" ina maana ya viongozi wa Babeli.
|
||
|
|
||
|
# andaa meza
|
||
|
|
||
|
Hapa "meza" inawakilisha chakula ambacho watu watakula katika karamu.
|
||
|
|
||
|
# inuka, wakuu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wakuu" ina maana kwa ujumla wanamume wenye mamlaka na sio lazima wana wa wafalme.
|
||
|
|
||
|
# pakeni ngao zenu kwa mafuta
|
||
|
|
||
|
Wanajeshi wangepaka mafuta juu ngao zao za ngozi ili kwamba ziweze kuwa laini na zisipasuke wakati wa vita.
|
||
|
|