forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
435 B
Markdown
17 lines
435 B
Markdown
|
# shikilia kwa udhabiti ungamo la tarajio la ujasiri wetu
|
||
|
|
||
|
"endelea kuwaambia watu kwamba tuna ujasiri kwa sababu tunaamini kuwa Mungu atatenda kile alichoahidi kutenda"
|
||
|
|
||
|
# pasipo kugeukageuka/ kuyumba yumba.
|
||
|
|
||
|
pasipokuwa na kuwa na hakika" au "pasipokuwa na shaka"
|
||
|
|
||
|
# Tusiache kukusanyika pamoja
|
||
|
|
||
|
"tusiache kujumuika pamoja kwa ajili ya ibada"
|
||
|
|
||
|
# kadri mwonavyo siku inakaribia
|
||
|
|
||
|
"Kama mnavyofahamu kuwa Kristo atakuja hivi karibuni"
|
||
|
|