forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
696 B
Markdown
25 lines
696 B
Markdown
|
# Nilipingana waziwazi ( usoni pake)
|
||
|
|
||
|
Maneno "kwa usoni pake" ni lugha ya picha likimaanisha "mahali atakapoweza kuona na kusikia." "Nilikabiliana naye" au "Niliyakosoa matendo yake"
|
||
|
|
||
|
# Kabla
|
||
|
|
||
|
Katika uhusiano na wakati/muda
|
||
|
|
||
|
# Aliacha
|
||
|
|
||
|
"Aliacha kula pamoja nao"
|
||
|
|
||
|
# Alikuwa anawaogopa watu wale
|
||
|
|
||
|
"Alikuwa na hofu na watu hawa waliotaka tohara wangemhukumu kwamba alikuwa akifanya kitu kibaya" au "aliogopa kwamba watu hawa wangemlaumu kwa kufanya jambo fulani baya." kimakosa"
|
||
|
|
||
|
# Watu waliotaka tohara
|
||
|
|
||
|
Wayahudi waliokuwa Wakristo, lakini walilazimisha kwamba wale waliomwamini Kristo wanapaswa kuishi kwa kufuata desturi za Kiyahudi.
|
||
|
|
||
|
# Kuweka mbali kutoka
|
||
|
|
||
|
"kukaa mbali kutoka" au kuepukwa"
|
||
|
|