forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
856 B
Markdown
33 lines
856 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Fumbo la Yahwe kuhusu mwerezi linaendelea.
|
||
|
|
||
|
# Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba
|
||
|
|
||
|
"Mwerezi ulikuwa mrefu kuliko miti mingine yote ya shambani"
|
||
|
|
||
|
# matawi yake yakawa mengi
|
||
|
|
||
|
"ulimea matawi mengi sana"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya maji mengi ilimea
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ulikuwa na maji mengi"
|
||
|
|
||
|
# Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake
|
||
|
|
||
|
"Iina zote za ndege warukao angani walitengeza viota katika matawi yake"
|
||
|
|
||
|
# wakati kila kiumbe hai cha shambani kilizaa mtoto chini ya tawi
|
||
|
|
||
|
"na viumbe vyote viishivyo katika shamba walizaa chini yamatawi ya mwerezi"
|
||
|
|
||
|
# Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake
|
||
|
|
||
|
"mataifa yote yenye nguvu yaliishi katikakivuli chake"
|
||
|
|
||
|
# ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake
|
||
|
|
||
|
"Ulikuwa mzuri kwa sababu ulikuwa mkubwa na matawi yake yalikuwa marefu sana"
|
||
|
|