forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
421 B
Markdown
17 lines
421 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaenedela kuelezea taifa la Israeli kama simba jike na wafalme wa ufalme wa Yuda kama wanasimba wake.
|
||
|
|
||
|
# hivyo alimchukua mwingine miongoni mwa watoto wake
|
||
|
|
||
|
Sasa Yahwe anamlinganisha Yehoyakini na mwana simba mdogo.
|
||
|
|
||
|
# Akawakamata wajane na kuiharibu miji
|
||
|
|
||
|
Haya maelezo ni mfano kwa ajili ya Mungu akiruhusu maadui wa Israeli kuyafanya haya mambo.
|
||
|
|
||
|
# na viijazvyo
|
||
|
|
||
|
"na kila kitu katika huo"
|
||
|
|