forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
512 B
Markdown
33 lines
512 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
|
||
|
|
||
|
# walete hao wanawe
|
||
|
|
||
|
"walete wana wa Aruni"
|
||
|
|
||
|
# kanzu
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.
|
||
|
|
||
|
# mshipi
|
||
|
|
||
|
kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua.
|
||
|
|
||
|
# kofia
|
||
|
|
||
|
Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho.
|
||
|
|
||
|
# kwa kazi takatifu
|
||
|
|
||
|
"wajibu wa kuwa makuhani"
|
||
|
|
||
|
# watakuwa na huo
|
||
|
|
||
|
Wajibu wa kuwa makuhani pia utakuwa na zao la wana wa Aruni.
|
||
|
|
||
|
# amri ya milele
|
||
|
|
||
|
"sheria isiyo na mwisho"
|
||
|
|