forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
380 B
Markdown
17 lines
380 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
|
||
|
|
||
|
# mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi
|
||
|
|
||
|
Huu ulikuwa mkanda wa kitambaa uliyo tengenezwa kwa nyuzi nyembamba mtu alizo zokota kufanya uzi mgumu.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba kikae
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|