forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
321 B
Markdown
13 lines
321 B
Markdown
|
# malaika wa Yahweh
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa Yahweh mwenyewe aliyekuwa anajitokeza kama malaika, na sio kama malaika Yahweh aliye mtuma.
|
||
|
|
||
|
# Yahweh
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Musa aliona kitu kilicho kuwa cha tofauti na alicho tegemea.
|
||
|
|