forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
440 B
Markdown
21 lines
440 B
Markdown
|
# Magavana wa majimbo, magavana wengine
|
||
|
|
||
|
Haya ni madaraja ya mamlaka juu ya himaya tofauti tofauti.
|
||
|
|
||
|
# nywele katika vichwa vyao hazikuungua
|
||
|
|
||
|
Muundo tendaji waweza kutumika kwa tungo hii."moto haukuweza kuunguza nywele vichwani mwao."
|
||
|
|
||
|
# Kuungua
|
||
|
|
||
|
"kuchomeka"
|
||
|
|
||
|
# mavazi yao yalikuwa hayajaharibiwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Moto haukuweza kuharibu mavazi yao."
|
||
|
|
||
|
# na hawakuwa na harufu ya moto
|
||
|
|
||
|
"hawakunukia harufu ya moto"
|
||
|
|